tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kuondoa Mawe kwenye Mchele
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
11 maoni

Tunauza Rice Milling Machine

+1
3
Chapa Mpya
Hali
Waharibifu ya Mchele
Aina
Tunauza rice milling machine. ●hii ni mashine maalumu ya kukuboa mpunga . inakoboa 200kg kwa saa. inatumia umeme wa majumbani(single phase). inauwezo wa kufanya kazi muda masaa 12. imeundwa na vyuma vigumu na imara . nirahisi kuitumia. inatoa mchele katika hali ya usafi. tupo dar es salaam (tegeta) tuna mawakala mikoani kote .
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif