tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
31 maoni

Tunauza Pellet Machine Chenga Chenga Mashine

+1
6
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Tunauza mashine ya kutengeneza chakula cha mifugo chenga chenga (pellet mashine). Faida ✓kuku hupata lishe zote zilizochanganywa katika umbo Moja . ✓Huzua upotevu wa chakula,chakula hakimwagiki hovyo . ✓Kuku hushiba vizuri kwani anauwezo wa kuokota punje zote . ✓Hupunguza gharama za ulishaji ✓Kuku wako hukua haraka kwani hupata virutubisho vyote. JINSI YA KUTENGENEZA PELLET 1. Ili utengeneze pellet, unatakiwa kuchangya virutubisho vyote mfano mahindi, mashudu, pumba, soya, madini, vitamini, nk sehemu moja kwa kutumia beleshi au mashine maalumu ya kuchanganyia chakula (MIXER) NB: Chakula kilicho changanywa tu na kupewa wanyama huwa kinaitwa MASH. 2. Changanya mchachayo wako na maji kidogo, ili uwe na unyevunyevu, hii husaidia chakula kushikana pindi unapotengeneza pellet kwenye mashine. 3. Chukua huo mchanganyo wako na weka kwenye mashine ya Pellet na uwashe mashine ili kutengeneza Pellet. 4. Hatua ya mwisho ni kuchukua Pellet ulizo tengeneza na kuzianika juani (lisiwe kali).
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif