tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Maganga ya shamba
  5. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
26 maoni

Tunauza Mashine Ya Kunyonyoa Kuku Manyoya

+1
2
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Tunauza mashine ya kunyonyoa kuku manyoya. [Plucker machine au De-feather machine] Sifa & faida za plucker zetu. ●Zinatumia umeme kidogo. ●Hazipigi makelele wala vibration sana. ●Hunyonyoa na kumaliza manyoya yote hivyo hufanya kitowewo kiwe safi. ●Hudumu kwa muda mrefu. ●Huokoa muda kwani hunyonyoa kuku zaidi ya 5 ndani ya sekunde 45. ●Bei 850.000/=Tsh Tunafanya Free delivery dar es salaam. ... Tuna mawakala mikoani kote. #incubator#cages#pelletmachine#Infraredbulb#
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif