Tunauza Mashine Ya Kuchakata Malisho Ya Mifugo #Chaffcutter
1/2
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
8 maoni
Tunauza Mashine Ya Kuchakata Malisho Ya Mifugo #Chaffcutter
+1
1
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Yes
Udhamini
24month
Kipindi cha Udhamini
Tunauza mashine za kuchakata malisho ya mifugo kama vile kuku.
Mashine hii inauwezo wa kuchakata mabua na majani hadi kuwa vipande vidogo dogo sana.
Inauwezo pia wa kusaga magunzi,mahindi,mashudu na material mengineyo yanayotumika katika kutengenezea chakula cha kuku hadi kuwa unga kabisa.
Inautumia motor pia ukitaka tukuwekee mfumo wa Engine tunakufungia.
Hakika hii mashine haijawai kutokea yenye ubora Mzuri kama hii new model.[visu imara,inabebeka,umemekidogo,haina makelele Inapiga hadi 4.5 Tonne kwa saa.
Utaipata mifugo plus Group kwa bei Sawa na buree.
Tucheki whatsapp tukutumie video uone jinsi inavyo fanya kazi065XXXXXXX