tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
76 maoni

Tunauza Mashine Ya Kuchakata Majani [Chaff Cutter Machine]

+1
5
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Yes
Udhamini
24month
Kipindi cha Udhamini
Tunauza mashine ya kukata majani/kuchakata {grass chopping machine}... tupigie074XXXXXXX bei zetu ■0.5tone kwa saa. 1, 500, 000/= ■0.1tone kwa saa 1, 600, 000/= ■3.5tone kwa saa 2, 200, 000/= ■4.5 tone kwa saa 2, 300, 000/=. ●mashine hii inauwezo wa kukata hadi vijiti vikubwa vikawa kama njiti... ■faida za kukata majani na kuyafanya yawe katika vikund vidogovidogo. unaweza kuchanganya majani na molasses ya maji kwa urahisi. huongeza ukuaji na uzalishaji was maziwa kwa wingi. husaidia kumeng'enywaji wa chakula kwa urahisi zaidi ng'ombe hula majani ya kutosha maana hatumii mda mwingi kutafuna. hufanya ng'ombe atabasamu na afurahie maisha siku zote... ■call065XXXXXXX
Tunauza Mashine Ya Kuchakata Majani [Chaff Cutter Machine]
TSh 500,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif