Tunauza hereni za mifugo zenye namba na zisizo na mamba .
●call
dar es salaam
■bei 75.000 pc 100
tunazo za ng'ombe/nguruwe/mbuzi/kondoo.
sifa za eartag zetu.
•ngumu na imara sana.
•hazi haribu masikio.
faida za kutumia eartag.
•hurahisisha zoezi la utunzaji kumbukumbu kwa wanyama.(utambuzi)
tunafanya free delivery.
tuna mawakala mikoani kote.