tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Maganga ya shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
68 maoni

Tunauza Cages Za Kuku Wa Mayai

+1
7
Chapa Mpya
Hali
Vizimbi
Aina
Alumini, Chuma cha Aloy
Vifaa
Fedha
Rangi
Mabwawa au vizimba vya Kuku
Aina ndogo ya vizimba
Mfugaji kwanini unapaswa utumie cage's ? 1. Cages zinakusaidia kuweza kufuga kuku wengi katika eneo dogo. 2.Cages zinakusaidia kupunguza gharama za chakula, Kwa maana ni kiasi kidogo cha chakula ndio hupotea 5. Cages zinakusaidia kukusanya kwa urahisi mbolea itokayo kwa kuku wako na kuiongezea thamani, hii ni kutokanana cages kuwa na mfumo mzuri wa ukusa 6. Cages zinakusaidia kuokoa hadi 75% ya muda unaotumia kuhudumia kuku wako. Hii ni kutokana na cages kuwa na mifumo mizuri ya Chakula, maji, na mbolea. 7. Cages zinakusaidia kujua idadi ya kuku wako, kwamaana ni rahisi kuwahesabu kuku wakiwa kwenye cages, ukilinganisha na kuku wasio kwenye cages. Hii pia inakusaidia kugundua kwa haraka kama kuna wizi wowote uliotokea. 8. Cages zinakusaidia kuzuia kuku kupatwa na magonjwa. 9. Mabanda haya yamewekwa katika mfumo ambao kuku hazunguki sana, inamaana anakuwa na eneo dogo linasababisha aweze kutaga sana. Kwasababu virutubisho vingi anavyokula vinaenda katika utengenezaji wa mayai.
Tunauza Cages Za Kuku Wa MayaiTunauza Cages Za Kuku Wa Mayai
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif