tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kutotoleshea Mayai
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
27 maoni

Tuna Mashine Za Kutotolesha Vifaranga [Automatic Incubator]

+1
1
Chapa Mpya
Hali
Kiangulio ya yai
Aina
Tunauza incubator ya mayai 528. bei 1,500,000/=tsh mazungumzo yapo. sifa ya mashine yetu. >inatumia computer ndogo ambayo hudhibiti kiasi cha joto na unyevu unyevu. >inamfumo wa kugeuza mayai zenyewe. >inatumia kiwango kidogo sana cha umeme. >inauwezo mkubwa wa kuhifadhi joto kwa kipindi kirefu pindi umeme unapo katika hivyo mayai hayaharibiki. >inakuja ikiwa na warranty ya miaka miwili. >inamfumo wa kupima yai lenye mbegu >inauwezo wa kuangua vifaranga kwa asilimia 98. >imeundwa na material magumu (hard board)hivyo hudumu muda mrefu hadi miaka15. >hazishiki kutu wala kuoza. >nirahisi sana kuitumia kwa mfugaji yeyote yule. kitu cha ziada utakachopata kwetu. ■elimu buree ya kitaalamu ya ufugaji. ■usimamizi wa mradi wako. ■utafutiwaji wa masoko ■mayai ya kutest mashine ■nakama haitoshi tutakupa zawadi kemu kemu za vifaa vingine vya ufugaji bureee. tupigie065XXXXXXX 074XXXXXXX
TSh 1,500,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif