tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
3 maoni

Taa Za Kulelea Vifaranga

+1
5
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Mfugaji wakinge vifaranga wako na baridi,wapatie joto la kutosha ili waweze kukua vyema pasipo kudumaa. tunazo taa maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga.(infrared) ■call/text ●bei 15.000/=tsh + holder buree... taa hizi hutoa mwanga mwekundu ambao hupelekea kifaranga kula vizuri chakula pia humpunguzia stress. taa moja hutosha kwa vifaranga 100. hutoa joto la kutosha. hudumu kwa muda mrefu bila kuungua. hutumia umeme kidogo huitaji tena kutumia mkaa hivyo hupunguza gharama huepusha uwezekano wa vifaranga kupata magonjwa ya mfumo wa hewa yanayo sababishwa na gesi za carbon monoxide. tuna watts 100/150 200/250. zinakuja na warranty ya miezi kumi. zinakuja na holder yake moja bureee. tupo dar es salaam (tegeta) agiza- tukuletee- tukukabidhi. ...
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif