tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
16 maoni

Taa Za Joto Nyekundu Za Kulelea Vifaranga

+1
1
Chapa Mpya
Hali
Nyingine
Aina
Mimi naitwa Godwin Mbwambo mtu pekee ninaye kusaidia wewe mfugaji kuachana na ufugaji wa kimazoea na kukupeleka katika ufugaji wenye tija. Karibu katika ulimwengu wangu wa vifaa bora vya kisasa vya ufugaji. Mikononi mwangu ninanzo taa maalumu za kisasa kabisa ambazo zinatumika kulelea vifaranga. Hapo zamani tulizoea kuona wafugaji wakitumia taa za vibuyu ambazo zilikuwa zikuungua ungua hovyo,kupasuka ,kula umeme mwingi na kumpelekea mfugaji kupata hasara kila siku .kwani hulazimika kununua taa zaidi ya mara tano mpaka vifaranga wake wakue. Sisi mifugo plus tunakuletea taa maalumu Nyekundu ambazo ni energy Sever (hazili umeme) Huleta joto la kutosha kwa vifaranga 100 kwa taa moja . Ukitumia taa zetu vifaranga wako watakuwa na makuzi bora na wenye afya bomba . Unasubili nini karibu mifugo plus tukuhudumie taa bora za joto kwa ajiri ya kuku wako. BEI YA OFA 15,000/=Tsh ■Call065XXXXXXX 068XXXXXXX
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif