Hutumika kumwagilia mashamba makubwa kwenye mahindi,nyasi,mpunga,bustani na hurusha maji kwa umbali za w Mita 25 mpaka 40 kulingana na pressure lakini pia hutumika kwenye main line kubwa kwa sababu ina ukubwa wa Inche mbili hata katika matumizi ya pipe.Lakini pia ukiachana na hio Kuna PY 30 na PY 40 zote zinatumika kwa matumizi ya umwagiliaji wa mazao.