Hutumika kutengeneza fish ponds, kuhifadhi maji ya umwagiliaji mashambani, kutengeneza water reservoir, kutumika kwenye greenhouse irrigation system, kuhifadhi maji ya mvua na kutumika kwenye miradi ya kilimo na mifugo na kazi yake ni kuzuia maji yasivuje ardhini pamoja na kulinda udongo usiharibike.