Ni mashine ya kutengeneza chakula cha kuku na mifugo mingine
Mashine hii inatumia umeme wa single phase
Inaweza kutengeneza chakula cha punje punje
Lakini pia unaweza kuzitumia kwa kutengeneza chakula cha NGURUWE,KONDOO,NG'OMBE,KUKU,SAMAKI NK
Mashine hii ni ngum na imara zaidi yenyee rolla mbili ngum ndani