tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine na Vifaa vya Shamba
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 2 zilizopita
22 maoni

Pellet Machine

+1
Nyingine
Aina
Chapa Mpya
Hali
TUNAUZA PELLETS MACHINE(KG 200 kwa saa) Hii Mashine ya mkono maalumu ya kutengeneza chakula cha punje punje kwa ajili ya samaki/kuku/nguruwe/ sungura. Faida za kumlisha kuku chakula cha punje punje. ✓kuku hupata lishe zote zilizochanganywa katika umbo Moja ✓Huzua upotevu wa chakula,chakula hakimwagiki hovyo ✓Kuku hushiba vizuri kwani anauwezo wa kuokota punje zote . ✓Hupunguza gharama za ulishaji ✓Kuku wako hukua haraka kwani hupata virutubisho vyote. Bei ya ofa 1,600,000/=Tsh. Ofa hii niyamuda mfupi. ■MAWASILIANO074XXXXXXX
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif