Incubator machine ya mayai 60 inayoweza kuangua mayai ya aina zote Kama KUKU, BATA, NJIWA, KWARE, KANGA NK
*Inatumia umeme wa solar system na umeme wa kawaida
*Inauwezo wa kutunza joto kwa masaa 8+ endapo umeme ukikata
*Ni full automatic kila kitu yaani inajigeuza mayai yenyewe haihitaji kugeuza geuza mayai kwa mikono
*Imetengenezwa kwa plastic material ngum na imara zaidi
*Ukinunua incubator machine hii unaipata na zawadi ya vyombo vya kuanzia na vifaranga wako
*Nzuri na inamuungurumo mdogo sana usio kera wala sumbua masikio