Hutumika kusambaza maji kwa mzunguko, kumwagilia mimea kwa usawa, kupunguza matumizi ya maji,kuweka unyevunyevu kwenye udongo bila kumomonyoa, kumwagilia bustani, kumwagilia nyasi, kutumika kwenye vitalu vya miche, mashamba madogo, Greenhouse na kumwagilia mboga kama karoti mchicha na nyanya.