Hii ni ile kubwa inayorusha maji kwa umbali wa 70m mpaka 100m kazi yake ni kusambaza maji kwa sare, kudhibiti flow rate ya maji, kupunguza erosion ya udongo, kusaidia kuotesha mbegu kwa upole, kusaidia ratiba ya umwagiliaji n matumizi yake mengine ni kwenye vitalu vya miche,vitalu vya miti,bustani za hoteli na lodges,viwanja vya shule,hifadhi za wanyama kuzuia moto maeneo ya mashamba na kusafishia greenhouse.