hii ni mashine ya pillet inayo tengeneza 150kg kwa saa moja
ni mashine ya kisasa kabisa inayoweza kufanya kazi zaidi ya masaa manne
ni ngum na imara isiyo pauka kwa urahisi
zinatumia umeme kidogo sana single phase
ukitumia machine hii unapunguza garama za chakula
haina haja ya kutumia nguvu rahisisha ufugaji wako