tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Walishe
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
14 maoni

Mashine Ya Kusaga Na Kuchanganya Chakula Cha Mifugo

+1
2
Chapa Mpya
Hali
Feeders
Aina
Tunauza grinder and mixer machine. ✓hii ni mashine ya kisasa yenye uwezo wa kusaga na kuchanganya chakula cha mifugo tani moja kwa saa. ✓uwezo wake ni 25 hp motor (grinder) na 5hp motor (mixer). ✓inasaga na kuchanganya aina zote za chakula cha kuku yaani chick starter, growers mash, finisher, layers mash na vyakula vingine vya mifugo. ✓inafanya kazi kwa masaa 20 bila kupumzika chuma ni 8mm (grinder) na 2mm (mixer) umeme ni wa njia tatu (three phase) mawasiliano065XXXXXXX
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif