Mashine zetu ;-
1. Ni imara sana, tunaunda kwa frame ya 6mm, 2inches angle lines, bati 2.0mm (14 gauge) ,
2. Ufanisi wa hali ya juu, unga safi na salama,
3. Mitikisiko hakuna, huna haja ya kuchimbia ila unatumia mipira ya kunesa (cushioning rubbers)
TUNAUNDA KWA SAIZI TOFAUTI
1.Namba 50 -1M (kinu) , 2.5M complete
2. Namba 75- 1.3M(kinu) ,3M complete
3. Namba 100,- 1.8M(kinu) , 4M complete
4. Namba 120&150 pia kwa hitaji maalumu,
Tupigie au062XXXXXXX