tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kutotoleshea Mayai
Dar es Salaam, Kinondoni, 21/05
4 maoni

Mashine Ya Kuangulia Vifaranga (56)

+1
1
Chapa Mpya
Hali
Kiangulio ya yai
Aina
Stima
Chanzo cha Nguvu
Tunauza mashine ndogo za kuangualia vifaranga. call/text ■ mayai (56) 300.000/=tsh ○sifa za hizi mashine ●inabeba mayai( 56 ). ●zinatumia solar (dc) bila kuwa na invetor. ●zinatumia betry la gari. ●zinatumia umeme (ac) kama hauna solar. ●zinatunza joto zaidi ya masaa 8 umeme ukikatika. ●ni automatic(zinageuza mayai). ●zinaangua mayai ya kuku,kware,kanga,bata mzinga nk. ●zina warranty ya mwaka mmoja. ●ufanyaji kazi ni 98%. ●matumizi kidogo ya umeme. tupo dar es salaam (tegeta) ... tuna mawakala mikoani kote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif