Tunauza mashine ndogo za kuangualia vifaranga.
call/text
■ mayai (56) 300.000/=tsh
○sifa za hizi mashine
●inabeba mayai( 56 ).
●zinatumia solar (dc) bila kuwa na invetor.
●zinatumia betry la gari.
●zinatumia umeme (ac) kama hauna solar.
●zinatunza joto zaidi ya masaa 8 umeme ukikatika.
●ni automatic(zinageuza mayai).
●zinaangua mayai ya kuku,kware,kanga,bata mzinga nk.
●zina warranty ya mwaka mmoja.
●ufanyaji kazi ni 98%.
●matumizi kidogo ya umeme.
tupo dar es salaam
(tegeta)
...
tuna mawakala mikoani kote