tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Mashine na Vifaa vya Shamba
  4. Mashine za Kukoboa
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 6 yaliyopita
28 maoni

Maize Sheller Tani Moja Na Nusu 2026

+1
MAIZE SHELLER
Aina
Chapa Mpya
Hali
Orange, Nyingine, Waridi, Nyekundu, Nyeupe, Njano
Rangi
Yes
Udhamini
12month
Kipindi cha Udhamini
Uwasilishaji
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 20,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 20,000 - 30,000
Dar es Salaam • Ilala
1-2 mchana
TSh 10,000 - 50,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
DAR ES SALAAM
LILIAN KIBO
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-20:00
MAIZE SHELLER YA TANI 1.5 BEI TZS 1,200,000/=TU Inapura mahindi kwa kasi kubwa hadi tani 1.5 kwa saa, unaokoa muda na nguvu huku ukiongeza uzalishaji wa shamba lako Inafaa kwa wakulima wakubwa, vikundi vya kilimo na hata biashara ya kupura mahindi kwa wateja na kupata kipato kila siku Wakati wengine wanapoteza muda kupura kwa mikono, wewe unaweza kumaliza gunia baada ya gunia ndani ya muda mfupi kwa mashine hii ya kisasa Hii sio mashine tu... ni fursa ya biashara kwa mkulima mjanja anayetaka kuongeza kipato haraka
Maize Sheller Tani Moja Na Nusu 2026Maize Sheller Tani Moja Na Nusu 2026Maize Sheller Tani Moja Na Nusu 2026Maize Sheller Tani Moja Na Nusu 2026
TSh 1,200,000
1 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif