Hii ni hose ya Inche moja yenye mashimo madogo madogo inayotoa maji kama mvua na hutumika kumwagilia bustani kwenye mazao kama mboga mboga,mimea midogo hata katika maua, greenhouses na vitalu vya miche pia huzuia mmomonyoko wa udongo ambapo maji hutoka taratibu,hayachimbi mashimo kwenye udongo.