Hizi hutumika kumwagilia mazao kwa mfumo wa mvua ni nzuri sana na zenye ubora zina size tofauti tofauti kuanzia Inche moja na robo mpaka Inche tatu na nusu zenye urefu wa Mita 100 hutumika katika mazao kama vile vitunguu maji, matikiti miche ya miti nakadharika ila viwe vigumu sio kama nyanya.