Hizi zina Mita 1000 kwa Mita 20000 hutumika kumwagilia kwenye maeneo kame yenye maji kidogo kama Dodoma Singida na sehemu za Arusha husaidia maji kutopotea haraka chini na yanabaki karibu na mizizi,inafanya kazi hata kwenye pressure ndogo,huhifadhi unyevu nyevu wa udongo kwa muda mrefu na inafaa kwa greenhouse vitalu mashamba ya mboga matunda na maua.