Hutumika kumwagilia moja kwa moja kwenye mizizi ya mmea,kuokoa maji, kupunguza magugu kwa sababu maji hayaendi maeneo yote na inafaa kwa greenhouse,vitalu, mashamba ya mboga,matunda na maua.Hizi zina Mita 1000 na Mita 2000 na 15cm, 20cm na 30cm,hizi ni nyembamba zenye gharama nafuu na hutumika sana kwa msimu mmoja.