Hizi ni bomba maalumu za umwagiliaji linalotoa maji kidogo kidogo moja kwa moja kwenye mizizi ya mimea zinatumika kuokoa maji hakuna kupotea kwa maji mengi Bali zinatumika kunyunyizia taratibu bila kupoteza maji mengi,hupunguza magonjwa ya maji kwa sababu maji hayagusi majani,husaidia kumwagilia mazao moja kwa moja kwenye mizizi ya mimea.