ni mashine ya kutotoleshea vifaranga
inaangua mayai ya aina zote
imeboreshwa zaidi na sasa zinaangua kwa 98%
zinatumia umeme wa tanessco na solar
zinaangua kwa siku chache zaidi
ni ngum na imara zaidi kuwahi kutokea
zinatunza joto kwa masaa 6-8 endapo umeme ukikata