tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Malisho ya Wanyama wa Shamba na Virutubisho
Dar es Salaam, Kinondoni, masaa 5 yaliyopita
4 maoni

Super Gro (Mbolea)

+1
Fertilizers
Aina
Other
Chapa
Root Crops
Aina ya Mazao
Other
Fomu
Uwasilishaji
Nchini kote
1-3 mchana
Bila malipo
Super gro ni nini? Ni mbolea ya asili yenye uwezo wa kurutubisha mazao,mimea,na ardhi. Faida na sifa za super gro •huongeza rutuba kwenye udongo, Husaidia maua yasipukutiike na u pepo hivyo huongeza wingi wa mazao kuvunja zaidi ya mara mbili, Huongeza uwezo wa udongo kutunza unyevunyevu, Huyeyusha hali ya mafutamafuta kwenye majani ya mimea hivyo hutawanyisha maji kwa urahisi, Huleta rangi ya kijan na ustawi kwenye mazao , Huleta nguvu mpya kwenye mazao yaliyo lemaa, Husaidia mazao kukua kwenye kimo kimoja Huzui fungus, au ukungu kwenye mazao, Haina sumu ni salama na rafiki kwa binadamu na mazingira kwa sababu haiathiri udongo, Huongeza wingi wa mavuno pia ukubwa WA matunda , Huongeza uzitowa mazao kwa mfano kabichi,mahindi,vitunguu,maharage na mazao yote Tunatuma mikoan na kwa dar delivery tunafanya, kwa haraka
TSh 176,000
Inaweza kujadiliwa

TSh 175,000

≥ vipande 2
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif