tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Malisho ya Wanyama wa Shamba na Virutubisho
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 iliyopita
18 maoni

Mbolea Ya Super Gro

+1
Fertilizers
Aina
Leafy Greens
Aina ya Mazao
Liquid
Fomu
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000 - 25,000
Super Gro ni mbolea ya majani ya kioevu inayosaidia kuongeza ukuaji wa mazao ya chakula kama mahindi, mpunga, maharage, viazi, mihogo, ndizi, mboga za majani na mengineyo. Jinsi ya kutumia: Kunyunyizia kwenye majani Changanya Super Gro na maji kulingana na maelekezo ya chupa. Nyunyizia majani asubuhi au jioni. Kumwagilia kwenye mizizi Changanya na maji kisha mwagia kwenye shina/mizizi. Faida katika mazao ya chakula: Huongeza ukuaji wa haraka wa mimea. Husaidia majani kuwa ya kijani na yenye afya. Huongeza maua, kutunga matunda na punje. Huongeza ukubwa wa mazao kama viazi na mihogo. Huongeza mavuno kwa ujumla. Ratiba ya matumizi: Tumia baada ya mimea kuota vizuri. Rudia kila baada ya siku 7 hadi 14 kulingana na zao.
TSh 200,000
Inaweza kujadiliwa

TSh 150,000

≥ vipande 5
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif