tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Chakula, Kilimo na Kilimo
  3. Malisho ya Wanyama wa Shamba na Virutubisho
Dar es Salaam, Kinondoni, 03/06
13 maoni

Max Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa Nguruwe

+1
Supplements
Aina
■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema. -Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe hustaimili magonjwa (Sahau kutibu). -Hupunguza gharama ya ulishaji kwani 1Kg ya max pig inaweza kuchanganya kwenye nusu tani ya chakula chako na nguruwe wako na akapata lishe yote (Mlo kamili). -Huondoa harufu mbaya bandani (Hutopata kero za mairani). -Huongeza hamu ya kula kutokana na utamu usio wa kawaida wa max pig pamoja na harufu nzuri. ■ Jinsi ya kuanza kuitumia max pig punde tu baada ya kuipata kutoka Mifugo plus. -Chukuwa 1Kg ya max pig kisha changanya kwenye chakula chako chenye Kg500/ nusu tani ulichokwisha andaaa tayari. .
Max Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa NguruweMax Pig Super Meat/Kirutubisho Bora Kwa Nguruwe
TSh 30,000
Inaweza kujadiliwa
2 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kwanza, kagua kile unachotaka kununua ili kuhakikisha ni kile unachohitaji
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif