Huduma Ya Kufunga Cctv Camera Analog Dsm — Bei Kuanzia | Tz
1/5
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 zilizopita
5 maoni
Huduma Ya Kufunga Cctv Camera Analog Dsm — Bei Kuanzia | Tz
+1
Prime Tech Solution
Jina la kampuni
Ndani na Viwanda
Aina ya Huduma
cctv camera installation
Aina
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni B
Una Camera Lakini Huna Fundi wa Kuamini? Sisi Ndio Jibu!
Huduma Zetu za Kufunga CCTV (Analog):
Survey ya eneo lako — bure kabisa
Ushauri wa camera ngapi na wapi ziwekwe
Kufunga cameras, DVR, na cables kwa ufundi
Cable Management safi — hakuna waya ovyo
Configuration ya DVR na smartphone viewing
Mafunzo ya mfumo — unajua kutumia mwenyewe
After-Sales Support — tuko hapa daima
BEI YA KUFUNGA (Labour Only):
• Camera 4: TSh 150,000
• Camera 8: TSh 250,000
• Zaidi ya 8: Wasiliana nasi kwa bei maalum
*(Bei inategemea umbali na ugumu wa eneo)*
Tunafika:
Kinondoni | Ilala | Temeke | Mbagala | Kariakoo
Kigamboni | Tanzania Nzima
Tumefunga mifumo 500+ DSM — Kazi Inazungumza Yenyewe!
Bonyeza "Onyesha Nambari" juu ya ukurasa huu
Tuma ujumbe hapa Jiji — Tunajibu haraka!
Jumatatu–Jumapili | 08:00–18:00