mfinanga electric services - dar es salaam
mtaalamu wa umeme mwenye licence ya serikali c3--e na usajili wa brela .
huduma zetu:
wiring nyumba & maghorofa mapya
kurekebisha short circuit & umeme kukatika
kufunga db box, changeover, distribution board
solar system, inverter, cctv installation
kufunga taa, socket, fan, ac, heater
inspection & maintenance
huduma ya dharura 24/7 - tunafika ndani ya saa 1
maeneo tunayohudumia:
sinza, mbezi, masaki, mikocheni, posta, kariakoo, temeke, ubungo, kimara, tegeta na dar yote.
kwa nini utuchague?
- kazi safi na yenye dhamana
- bei poa, tunakubaliana kabla
- tunatumia vifaa original
- wateja 500+ wameridhika
piga/whatsapp062XXXXXXX