Sabuni Huimarisha Ngozi Iliyoharibika Na Cream Na Jua
Dar es Salaam, Kinondoni, 27/05
4 maoni
Sabuni Huimarisha Ngozi Iliyoharibika Na Cream Na Jua
+1
1
Sabuni
Aina
Ya mwanamke
Jinsia
Vitamini E, Aloe Vera
Viungo
Fimbo
Uundaji
250ml
Kiasi
Limau
Marashi
Uso
Eneo la Mwili
Ngozi nyeti
Aina ya Ngozi
Yote ya Asili
Vipengele
Ukubwa wa Sampuli
Ukubwa
Chupa ya Plastiki
Ufungaji
6month
Kipindi Baada ya Kufungua
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Kinondoni-Victoria
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 06:00-20:00
KWANINI AVOCADO FACE & BODY SOAP Ni sabuni ya parachichi ina na aloevera pia imechanganywa na glycerin ya mafuta ya nazi na mchikichi kwa ajili ya kutunza unyevu na kulainisha ngozi... Zaidi ya hapo ina vitamin A,B,D na E kwa ajili ya kusafisha taka taka kwenye mwili na kuzibua vitundu vya ngozi yako na kuifanya ngozi iweze kupumua vizuri. Ina harufu nzuri ya matunda ya citrus (limao) inayofanya mwili wako unukie vizuri, kukata harufu mbaya ya jasho. Inafaa kutumiwa kwa watu wote, watoto, watuwazima wakike na wakiume. *FAIDA ZAKE.* *kuondoa ngozi ilochoka. *kuzibua vitundu vya ngozi. *kukulinda na magonjwa ya ngozi kama chunusi, harara, muwasho na fangas. *kulainisha ngozi, na kukupa hafufu nzuri... *Uzuri wako unasababu ya kutumia bidhaa zisizo na chemicali ili kulinda afya ya ngozi yako* TUPIGIE KUPATA SABUNI YAKO POPOTE ULIPO,