Kufanya weupe, Ufizi nyeti, Bila Fluoride, Anti-Cavity
Manufaa
Zilizopo
Ufungaji
3month
Kipindi Baada ya Kufungua
Uwasilishaji
Dar es Salaam • Kinondoni
1 mchana
TSh 5,000
Nchini kote
1-2 mchana
TSh 10,000 - 15,000
Anwani ya duka
Dar es Salaam • Kinondoni
Dar Es Salaam
Open
• Jumatatu - Jumamosi, 08:00-21:00
Dar es Salaam • Temeke
Tarara, Dar es salaam
Whatsapp me
Closed
• Jumatatu - Jumamosi, 09:30-10:30
Forever bright toothgel imetengenezwa na mchanganyiko wa aloe vera na bee propolis.
Bee propolis ni anti-biotics kutoka kwenye bidhaa za nyuki na hutumika kuzuia maambukizi ya bacteria kwenye vidonda na kutibu vidonda.
Aloe vera ipo kwa wingi kwa ajili ya kuleta fresh breath yani kinywa kisafi kwa wale wenye vinywa vyenye harufu.
Lakini pia ina spear mint kama ladha yake na inang'arisha meno yaliyofifia rangi.
Haina fluoride kwahyo ni nzuri hata kwa watoto wadogo wakimeza haina shida na pia inaondoa gesi tumboni.
Inakaa muda mzuri kwa budget nzuri.