tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Urembo na Huduma ya Kibinafsi
  3. Huduma ya Mwili
  4. Sabuni
Dar es Salaam, Kinondoni, siku 1 iliyopita
30 maoni

African Black Soap

+1
7
Povu za kuoga
Aina
Africa black soap ni kiboko kabisa ? hii ni nzuri kwa ngozi na nywele. Inaitwa magic soap kwa ajili ya maajabu yake ? Faida za Africa black soap Inaondoa mafuta usoni kwa wenye ngozi ya mafuta na chunusi Inaondoa madoa kwenye ngozi hasa yaliyotokana na chunusi Kung'arisha ngozi na kuweka unyevu Inatoa harufu mbaya ya kwapa Inasaidia kufifisha michirizi Imatumika kama makeup removal Inatibu pumu ya ngozi Sabuni hii utaipata only for 10,000 ni nzuri sana inapovu na haiishi haraka
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Usilipe mapema hata kama ni ada ya kusafirishiwa bidhaa
  • Kutana na muuzaji mahali salama pa umma
  • Kagua kipengee na uhakikishe ni nini hasa unachotaka
  • Hakikisha kwamba bidhaa uliyofungiwa ni ile ambayo uliagiza
  • Lipa tu ikiwa umeridhika
frame_left.gif