Anyumba inauzwa
ipo tegeta wazo
bei tsh milion 130 maongezi yapo
document: clean tittle deed
ukubwa wa eneo sqm 680
vyumba vitatu vya kulala, kimoja master,sitting room,dinning room,kitchen,public toilet,store,fensi,paving blocks,aluminium window,maji yapo dawasa,umeme upo
pia kuna servant cota ya chumba master na sebule ambayo bado haijakamilika
mtaa mzuri sana , mtaa tulivu mnoo
karibuni wateja
gharama ya kupelekwa site kuona nyumba ni tsh elfu 30000/=