Zipo nyumba 2 ndani ya eneo hili na imejengwa kwa mfumo wa kupangisha chumba kimoja kimoja na inawapangaji ndani, umeme na maji vyote vipo hapo nyumba ipo mtaa mzuri na gari inafika mpaka kwenye nyumba pia ni karibu na barabara na hati yake ni document ya mauziano ya serekali ya mtaa, karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO