Apartments inauzwa
LOCATION: Tabata kinyezi mwisho
Bei Tsh milion 550 maongezi yapo
kuna apartments zipo 8
vyumba 2 vya kulala,chumba kimoja master, sebule, jiko,public toilet ziko 5
Kuna chumba, sebule choo na jiko zipo 3
kila apartment ina jitegemea kwa umeme na maji yaani kila apartment ina luku yake ya umeme na mita yake ya maji
kwa sasa wapangaji Wamehama nyumba ipo wazi mteja akifika anaangalia nyumba zote
kuna parking mbili mawili na milango 2 mbele na nyuma
Ukubwa wa kiwanja SQM 1500
Umiliki: Hati miliki safi toka wizara ya ardhi
KWA KUPANGISHA BEI ZAKE NI;
Vyumba 2 vya kulala, chumba kimoja master, jiko, sitting room, public toilet kodi 300000 kwa mwezi
chumba, sebule, choo na jiko 200000 kwa mwezi
nyumba zipo mahali pazuri ulinzi wa kutosha wa maji dawasa kila mtu na tanki lake