Stand alone house for rent – tabata kinyerezi, dar es salaam
nyumba ya kisasa inayopangishwa katika mazingira tulivu, salama na yenye huduma zote muhimu.
kodi: tzs 1,000,000 kwa mwezi
malipo: miezi 6 mbele
location: tabata kinyerezi, mandai – karibu kabisa na barabara kuu, njia ya julius nyerere international airport.
sifa za nyumba:
vyumba 4 vya kulala
master bedrooms 2
sebule kubwa
dining room
jiko la makabati
store
ceiling (mafeni kila chumba)
parking ya magari
paving block
huduma zinazopatikana:
maji ya dawasco masaa 24
reserve water tank
kisima
umeme wa uhakika
kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba: