tre.gif
Uza haraka
Janjaruka kwa Ununuzi
  1. Matangazo yote
  2. Mali
  3. Ardhi na Viwanja Inauzwa
  4. Ardhi ya Makazi Inauzwa
Imefaulu
Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
1 maoni

Kiwanja Kwa Bei Mseleleko

+1
Ardhi ya Makazi
Aina
400sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Kiwanja kipo sehemu tambarale na kimepimwa mita 20 kwa 20 na ni umbali wa kilomita 1 kutoka barabarani. Kwa umbali huu unaweza pia ukatembea kwa mguu kwa mwendo wa dakika 15 kutoka mwendokasi, sqm1 ni Tsh80,000/= karibu sana.
Kiwanja Kwa Bei MselelekoKiwanja Kwa Bei MselelekoKiwanja Kwa Bei Mseleleko
TSh 32,000,000Outright Price
4 Maonitazama zote
Ripoti Unyanyasaji
Vidokezo vya Usalama
  • Ni salama zaidi kutolipa mapema ukaguzi
  • Waulize marafiki au mtu unayemwamini akusindikize kutazama
  • Angalia kuzunguka ghorofa ili kuhakikisha kuwa inakidhi matarajio yako
  • Usilipe mapema ikiwa hawatakuruhusu uingie mara moja
  • Thibitisha kuwa maelezo ya akaunti ni ya mmiliki sahihi wa mali kabla ya kuanza malipo
frame_left.gif