Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
1 maoni
Kiwanja Kwa Bei Mseleleko
+1
Ardhi ya Makazi
Aina
400sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Maegesho ya Gari, Bomba la maji taka, Usambazaji wa Stima, Mfereji wa Maji ya Mvua, Usambazaji wa Maji
Vituo vya
Kiwanja kipo sehemu tambarale na kimepimwa mita 20 kwa 20 na ni umbali wa kilomita 1 kutoka barabarani.
Kwa umbali huu unaweza pia ukatembea kwa mguu kwa mwendo wa dakika 15 kutoka mwendokasi, sqm1 ni Tsh80,000/= karibu sana.