Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 3 yaliyopita
2 maoni
Kiwanja Kinauzwa Ubungo Makoka Kwa Mkua
+1
Ardhi ya Makazi
Aina
600sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Minja real estate & Car Broker inakuletea:-
Kiwanja kinauzwa Ubungo Makoka kwa Mkua.
Kiwanja kina ukubwa wa Sqm 600.
Kipo umbali wa MITA 200 kutoka barabara ya lami inayotoka Mkua kwenda Korogwe.
Bei mil 85.
Piga au WhatsApp kama upo serious.
MUNGU BARIKI KAZI ZA MIKONO YANGU