Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, siku 1 zilizopita
2 maoni
Kiwanja Kinauzwa Bunyokwa Bei Nzuri Sana
+1
Ardhi ya Makazi
Aina
441sqm
Mita za mraba
Makazi
Matumizi ya Sifa
Minja real estate & Car Broker inakuletea:-
Kiwanja kizuri na bei nzuri kinauzwa Bunyokwa.
Kiwanja kina ukubwa wa Sqm 441.
Kiwanja kipo karibu kabisa na stendi kuu ya Bunyokwa.
Kimeshapimwa.
Unaweza kuingilia Segerea au Ubungo external au Kimara mwisho au Korogwe na ukafika kwenye kiwanja.
Bei yake ni nzuri sana mil 35 tu.
Nipigie au nitumie ujumbe WhatsApp kama wewe ni mteja serious.
MUNGU BARIKI KAZI ZA MIKONO YANGU.