Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 3 yaliyopita
110 maoni
4bdrm House in Kimara for sale
+1
Nyumba
4 vyumba vya kulala
bafu 4
Nyumba
Aina ya mali
Kimara kwa Mama Stellah
Anwani ya Mali
400sqm
Ukubwa wa sifa
4
Vyumba vya kulala
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
4
Bafu
Minja real estate & car Broker inakuletea:-
Nyumba ambayo haijaisha inauzwa Kimara kwa Mama Stellah.
Nyumba imegawanyika mara mbili.
Kila upande una vyumba viwili kimoja master.
Kila upande una jiko, choo cha public na sebule.
Size ya kiwanja Sqm 400.
Hati mauziano ya serikari za mtaa.
3 km kutoka Morogoro road.
mita 500 kutoka Barbara inayojengwa na kuwekwa lami.
Bei Mil 80.
Mawasiliano068XXXXXXX