Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo mtaa mzuri ambapo huduma zote za kijamii zinapatikana kwa urahisi... pia nia karibu na barabara ya lami... Ina HATI kutoka WIZARA ya ARIDHI... karibu sana usiogope bei maongezi yapo