Hii nyumba inauzwa ipo Kimara Suka Bwawani.
kutoka Morogoro road ni mita 700, ina Tittle Deed bei T Shs 500m ipo ndani ya Fence.
Eneo lina ukubwa wa SQM 2300 nyumba ina vyumba vitatu vya kulala viwili Master bedroom kimoja cha kawaida.
Akina mama huwa wanaangalia sana ubora wa jiko. Jiko ni kubwa sebule ni kubwa kuna boy Quoter 2 na kuna Air contion 2 kuna banda la Mbwa na Bwawa la kufugia samaki.
Car park ya kutosha hata gari ndogo 10 Tajiri karibu uwekeze katika Eneo hili.