Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 13 yaliyopita
3 maoni
2bdrm House in Kimara for sale
+1
1
Nyumba
2 vyumba vya kulala
bafu 2
Nyumba
Aina ya mali
Mtakuja street
Anwani ya Mali
400sqm
Ukubwa wa sifa
2
Vyumba vya kulala
Imetumika kwa Haki
Hali
Bila samani
Samani
2
Bafu
Nyumba Inauzwa Kimara.
Mahali: Kimara Temboni, Mtaa wa Mtakuja.
Sifa za Nyumba:
•Ipo km 1 kutoka barabara kuu ya Morogoro.
•Ina chumba chenye choo ndani, sebule na jiko.
•Ina mpangaji analipa kodi sh. 300,000 kwa Mwezi.
•Ina eneo kubwa mbele.
•Usafiri wa aina zote unafika mpaka kwenye nyumba.
Ukubwa Wa Eneo: SQM 400.
Nyaraka: Hati ya Mauziano Ya Serikali Ya Mtaa.
Bei: Tzs Milioni 55. Maongezi yanaruhusiwa.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano078XXXXXXX