Sehemu 'b'
#vyumba 2 vya kulala vikubwa kimojawapo ni master bedroom kubwa
#sebule kubwa
#jiko kubwa la kisasa
#public toilet
#heater ya maji moto
#aircondition imefungwa sebuleni na chumba cha master
#makabati ya nguo yanafungwa vyumba vyote
#garden + paving za kisasa
#parking kubwa
bei ni tsh 600,000/= x 6
full security cctv camera na fensi ya waya wa umeme
apartment hizi zipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1 usafiri ni bajaji sh 50o au bodaboda sh elfu 1 tuu na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
apartment hizi zitakua tayari kuhamia kuanzia tarehe 01/06/2024
kuoneshwa nyumba hii garama yake ni shilingi elfu 15 na ukiipenda nyumba hii utalipia pesa ya udalali kodi ya mwezi mmoja