Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 2 yaliyopita
11 maoni
4bdrm House in Kimara Temboni for rent
+1
1
Nyumba
4 vyumba vya kulala
bafu 2
Kimara temboni
Anwani ya Mali
Kimara temboni
Jina la Mtaa
800sqm
Ukubwa wa sifa
Nyumba
Aina ya mali
Kutengwa
Aina ndogo
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
4
Vyumba vya kulala
2
Bafu
1200000
Ada ya malipo ya huduma
1200000
Ada ya malipo
1200000
Ada ya Wakala
20000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Hali ya Hewa ya ukondishaji
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Kifaa cha kuosha sahani
Maji Moto
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Microwave
Ibukizi ya Ibukizi
Mita ya Kulipwa Kabla
Jokofu
Sakafu ya vigae
Wardrobe
Nyumba kubwa ya kisasa ya familia inayojitegemea yenyewe kwenye fensi kubwa inapangishwa = x 6 (milioni 1 na laki mbili tuu)
nyumba hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 4 vya kulala kati ya hivyo vyumba 3 ni master bedroom
!!kwenye hizi master bedroom 3 mojawapo ni master bedroom kuu ambayo ni kubwa sana sana
#sebule kubwa sana na zipo sebule mbili
#dining
#jiko kubwa la kisasa
#heater za maji moto na maji baridi
#aircondition zimefungwa vyumba vyote pamoja na sebuleni
#ccctv camera
#garden nzuri
#parking kubwa sana
bei ni
nyumba hii kubwa ya familia ipo kimara temboni upande wa kushoto kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 6-7 tuu kwa miguu na njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba
pia unaweza kupitia mbezi kwa msuguri ni dk 2 tu.