Dar es Salaam, Kinondoni, Kimara, masaa 2 yaliyopita
12 maoni
3bdrm Mansion in Kimara Temboni for rent
+1
1
Jumba la kifahari
3 vyumba vya kulala
bafu 2
Kimara temboni
Anwani ya Mali
Kimara temboni
Jina la Mtaa
780sqm
Ukubwa wa sifa
Jumba la kifahari
Aina ya mali
Kutengwa
Aina ndogo
Imejengwa Mpya
Hali
Bila samani
Samani
3
Vyumba vya kulala
2
Bafu
2
Vyoo
20000
Ada ya malipo ya huduma
400000
Ada ya malipo
20000
Ada ya Wakala
400000
Ada ya Tahadhari
Umeme wa masaa 24
Hali ya Hewa ya ukondishaji
Ghorofa
Balcony
Chandelier
Eneo la Kula
Kifaa cha kuosha sahani
Makabati ya Jikoni
Rafu ya jikoni
Ibukizi ya Ibukizi
Jokofu
Sakafu ya vigae
Wi-Fi
Nyumba kubwa ya kisasa ya familia inapangishwa na inajitegemea yenyewe kwenye fensi
nyumba hii ina sifa zifuatazo
#vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master
#sebule kubwa
#dining
#jiko kubwa la kisasa
#store
#public toilet
#parking
bei ni 400k x 6
ilipwe laki 4 kwa mwezi malipo ya miezi 6 tuu
nyumba hii kubwa ya familia inajitegemea yenyewe kwenye fensi ipo kimara temboni upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka morogoro road hadi kwenye nyumba ni dk 15 tuu kwa miguu au bajaji sh 700 na ukishuka tuu kwenye bajaji unatembea dk 1 upo kwenye nyumba
njia ya gari ni rafiki kwa aina zote za magari hadi kwenye nyumba